KIKOSI cha klabu ya Simba kimeanza safari ya kuelekea nchini Sudan, kwa ajili ya kuwavaa wapinzani wao Al Merrikh katika mchezo wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Simba inatarajiwa kuondoka uwanja
wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jioni ya saa kumi kupitia nchini
Ethiopia.
Simba inayoongoza kundi A, la
michuano hiyo na pointi zao sita itacheza dhidi ya Al Merrikh siku ya Jumamosi, Mchezo inaotarajiwa
kupigwa majira ya saa kumi za jioni.
Kila la kheri MNYAMA.
ReplyDelete