Kikosi cha Yanga kitakachoanza leo chini ya Kocha Mkuu, Nassreddine Nabi
1.Faroukh Shikhalo
2.Kibwana Shomari
3.Adeyum Saleh
4.Abdalah Haji
5.Dickson Job.
6.Mukoko Tonombe
7. Deus Kaseke
8.Carlos Carlinhos
9.Michael Sarpong
10. Said Ntibanzokiza
11.Yacouba Songne
Akiba
Metacha
Boxer
Mwamnyeto
Niyonzima
Feitoto
Nchimbi
Wazir
Saido ni mkubwa kuzidi Yanga.Kawalazimisha kumuanzisha kikosi kinachoanza..Nao wamekubali.Safi sana Saido
ReplyDeleteNa yule mshika makalio ya waamuzi ni mdogo kuliko simba?
DeleteNi mchezaji wao, kama wanaona mechi yaleo anafaa kuanza sawa, mengine hayatuhusu
ReplyDeleteAsante sana brother
Deleteyule mshika matako Alichowatenda Yanga, ni sawa na kuwashika matako.Je Yanga walishapata fidia ya mil 600 baada ya kumpeleka CAS?
ReplyDelete