June 9, 2021




 KLABU ya Manchester United inayonolewa na Kocha Mkuu Ole Gunnar Solkjaer haijakata tamaa ya kupata saini ya nyota wa Borrusia Dortmund, Jadon Sancho.

Kocha wa United, Ole amesema kuwa anahitaji kusajili mshambuliaji mmoja katika usajili wake kwa ajili ya kuongeza nguvu kwa msimu ujao.

Taarifa ambayo imetolewa na gazeti la Dail Mail imeeleza kuwa United wamefungua tena majadiliano ya kumpata mshambuliaji huyo.

Dili la mshambuliaji huyo linatajwa kuwa pauni milioni 100 jambo ambalo limekuwa ni gumu kwa mabosi wa United kukubali kuziangusha zote mezani wakihitaji kupunguziwa mpaka milioni 80 pauni.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic