KATIKA orodha ya timu 50 bora Afrika Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes ni namba 13.
ORODHA YA TIMU 50 BORA, SIMBA IPO NDANI 20 BORA
KATIKA orodha ya timu 50 bora Afrika Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes ni namba 13.
naona 22 tuu nyingine wapi? tunataka tuone kwenye hizo 50 Tanzania tuan timu ngapi
ReplyDeleteMatopolo pelekeni malalamiko kua nyie hamkutajwa kabisa mmeonewa na muikatae kwa kuwa Mnyama kapendelewa kuchaguliwa wa ishirini
ReplyDeleteCAF, TFF na waamuzi wanaipendelea Simba
ReplyDeleteNajua ukiigeuzaa tuu simuu unaiona yangaa
ReplyDeleteWote matajiri wane wanaotajwa kama kweli hawaezi kujiunga kumnyanganya Simba The Lion mmoja hata kwa miaka mine iajayo
ReplyDelete