Kama nikweri kasaini nitaamini viongozi wa yanga wameferi kinoma mimi ni mwanayanga damu damu ilakwa huyu jamaa hamna viongozi hamzungushi akiri vizuri ivi hamna wachezaji wengine wazuri mkose tanzania hata nchi nyingine hamna kweri? Au kunanini hapo mbona cielewi!!
Ganda la muwa la jana, chungu kaona uhondo
ReplyDeleteEndeleeni kumuhusianisha na Yanga ili thamani yake ipande, wajinga ndio mtawakamata. Lakini sahahuni kuhusu yeye kurudi Yanga!
ReplyDeleteKama nikweri kasaini nitaamini viongozi wa yanga wameferi kinoma mimi ni mwanayanga damu damu ilakwa huyu jamaa hamna viongozi hamzungushi akiri vizuri ivi hamna wachezaji wengine wazuri mkose tanzania hata nchi nyingine hamna kweri? Au kunanini hapo mbona cielewi!!
ReplyDeleteKweli Yanga inaendelea kuchoka kiuongozi
ReplyDelete