MASHABIKI wa Yanga wameweka wazi kwamba ikiwa mchezaji akamua kuicheza Yanga ni lazima ajitafari, pia anapaswa kusamehewa kwa sababu ni mwanafamilia ya michezo.
Hao mashabiki wa yanga wanaomuombea Metacha msamaha hii leo sio wao waliomzomea na kumfanyia fujo kubwa na kutaka kmddhuru iliopelekea atolewe nje chini ya ulinzi wa polisi hata ikabidi yeye kuwaonesha hicho kidole kilchowakera. Hawa jamaa wanapofanya fujo lao, hawana akili ya kufikiria nini matokeo yake. Sasa ndio wanajiuliza nani atakaa langoni katika mechi zijazo, kubwa zaidi ya tarehe tatu na huku Faruku keshajuwa anatemwa na Kabwili keshatengwa, jee nani ataekaa langoni siku hiyo inayokaribia na jawabu ni kuwa hawana kipa na huku wakubwa wakiranda Afrika nzima kusajili nyota wasio na idadi. Fujo, fujo, fujo
Tuluwahi kushuhudia kipa biea Afrika ya mashariki Manula akiruhusu magoli yasiyokuwa na mana lakini hatujawaona mashabiki wa Simba kumzomea au kumtukana kwasababu wanatambuwa kuwa Manula ni binaadamu na hapana binaadamu asieyajuwa hayo na mpaka kei Manula ndie kipa bora anayetakiwa kila pahala. Hakuna raha ya ushindi kama hujawahi kushindwa lakini matopolo hawayajui hayo sasa iliobaki ajitokeze mzee mmoja akae langoni mechi zijazo
Sisi yanga tushamsamehe kwa kuwa ameomba radhi. Aombe radhi na TFF ili wasimuadhibu
ReplyDeleteHao mashabiki wa yanga wanaomuombea Metacha msamaha hii leo sio wao waliomzomea na kumfanyia fujo kubwa na kutaka kmddhuru iliopelekea atolewe nje chini ya ulinzi wa polisi hata ikabidi yeye kuwaonesha hicho kidole kilchowakera. Hawa jamaa wanapofanya fujo lao, hawana akili ya kufikiria nini matokeo yake. Sasa ndio wanajiuliza nani atakaa langoni katika mechi zijazo, kubwa zaidi ya tarehe tatu na huku Faruku keshajuwa anatemwa na Kabwili keshatengwa, jee nani ataekaa langoni siku hiyo inayokaribia na jawabu ni kuwa hawana kipa na huku wakubwa wakiranda Afrika nzima kusajili nyota wasio na idadi. Fujo, fujo, fujo
ReplyDeleteHata akisamehewa kwani Rungu la TFF si lipo lililowasibu akina Nyosi, na wengi wengineo
ReplyDeleteTuluwahi kushuhudia kipa biea Afrika ya mashariki Manula akiruhusu magoli yasiyokuwa na mana lakini hatujawaona mashabiki wa Simba kumzomea au kumtukana kwasababu wanatambuwa kuwa Manula ni binaadamu na hapana binaadamu asieyajuwa hayo na mpaka kei Manula ndie kipa bora anayetakiwa kila pahala. Hakuna raha ya ushindi kama hujawahi kushindwa lakini matopolo hawayajui hayo sasa iliobaki ajitokeze mzee mmoja akae langoni mechi zijazo
ReplyDeleteSimba Ni professional matopolo yanakwenda kijingajinga
ReplyDelete