June 14, 2021

7 COMMENTS:

  1. Ni bora wasinde kucheza waingie mitini waikimbie aibu kwasababu wameshaona watagaragazwa vibaya Juli3 kwahivo ni bora aibu ya kuingia mitini kuliko kuchapwa kama watoto.

    ReplyDelete
  2. Sasa wazeevkama hawa ndio wamekiwa wasemaji wa yanga, duh! Yanga kweli imekwisha

    ReplyDelete
    Replies
    1. Je umesahau kuna klabu kongwe hati zake zinamilikiwa na mzee wa mtaani?

      Delete
    2. Kweli hawa wanaakili Jana katika mkutano wao na waandishi wa habari Global Publishers, wazee wa tawi la yanga nilistuka mmoja kati yao alimhujumu Hersi kwa kusema mwenye asli ys Usomali inaonesha wameshazisahau neema na mapenzi yake kwa timu hio

      Delete
  3. Mbona uto wanalialia sana. Kwani nani amewalazimisha kucheza.... Kelele nyiiiingi mkifikiria Mnyama yangonga yanarudi

    ReplyDelete
  4. Mimi nawaung mkono wazee. Kama mmeona tutalala kwa 4. 3. Au hata mbili basi timu isende mkapa. Asanteni kwa mazingira na mazingara

    ReplyDelete
  5. Kwani Yanga wao wanasemaje?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic