June 18, 2021


SENZO Mbata, Mshauri wa Klabu ya Yanga kuelekea katika mabadiliko amesema kuwa ushindi ambao waliupata mbele ya Ruvu Shooting wanaufurahia ila tabia ya Metacha Mnata haijawafurahisha. Jana Juni 17 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Ruvu Shooting 2-3 Yanga, Mnata alionekana akinyanyua dole kwa mashabiki jambo ambalo limewafanya viongozi wa Yanga kumsimamisha kwa muda usiojulikana

 

6 COMMENTS:

  1. Mnata nae sio kipa nzuri kivile, jana alipwaya sana. Siwa ajitafakari kama huyo ndio kipa wake Na.1

    ReplyDelete
  2. Msihofu, Jeremiah Kisubi anatua jangwani

    ReplyDelete
  3. Mimi siku nyingi nilisema Mnata ni mwepesi. Na kama isingekuwa Mkwasa jana sisi tungerudi na vilio nyumbani

    ReplyDelete
  4. n kama choo tu mnata, kla mtu anamtumia

    ReplyDelete
  5. Mtoa rushwa au mla rushwa huwa abadiliki mikia hayo ya Mkwasa kuwa YANGA mmeua Timu nyingi, Angalia Mbeya City,Mmepeleka Kijuso kaimaliza kabisa ,AZAM yenyewe mikia,KMC mpaka mbeba jezi kulekule,huyo Kocha wa Kagera Baraza Ni paka kabisa Angalia mechi Ya Bukoba na ya Dar line up alivyozuga na zaidi Refa Mwandembwa.

    ReplyDelete
  6. Hapo hatuna taja Namungo, Coastal,na zaidi Ihefu naGwambina

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic