July 23, 2021

4 COMMENTS:

  1. Kila la kheri watani kwenye mechi yenu ngumu. Tunatarajia kuona ufundi zaidi kwenye mechi hiyo siyo kukamiana na kuumizana kwa kijinga. Ila mechi ni ngumu inavyoonekana.

    ReplyDelete
  2. Mechi hizi ufundi kidogo sana na hukuna ladha

    ReplyDelete
  3. Naomba wachezaji wetu wasiwe na kiwewe na hofu kama inavoonesha na wacheze kwa kujiamini na safari hii kombe litakwenda jangwani

    ReplyDelete
    Replies
    1. Labda kombe la uji,tena wa chumvi.

      Delete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic