FT Simba 1-0 Yanga
Dakika ya 90 Saido anaingia akichukua nafasi ya Kisinda
Dakika ya 88 nahodha wa Simba John Bocco anafanya jaribio linakwenda nje
UWANJA wa Mkapa
Dk ya 49 Yacouba anafanya jaribio linaokolewa
Kipindi cha pili kimeanza
Nyoni anatoka anaingia Bwalya
Simba 0-1 Yanga
Mapumziko
Zinaongezwa dk 3 kukamilisha kipindi cha kwanza
Dk 45 Morrison anacheza faulo
Dk ya 44 Onyango anafanya jaribio linakwenda nje ya lango
Dk 42 Bocco anafanya jaribio kwa pasi ya Kapombe ngoma inakuwa ngumu kwao
Dk ya 40 Yanga wanapeleka mashambulizi kwa Manula
Dk ya 36 Yacouba, Chama, Luis wanaonekana wakigombania mpira, Fei anaonyeshwa kadi ya njano
Dk ya 35 Bocco anafanya jaribio kwa pasi ya Chama inaokolewa na Farouk
Dk 30 30 Kibwana anapewa huduma ya kwanza
Dk ya 27 Bocco anagongana na Kaseke mwamuzi anaamua ipigwe faulo kwa Mkapa kuelekea kwa Manula
Dk 26 Zimbwe anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea faulo Kisinda
Dk ya 22 Yacouba anachezewa faulo na Kapombe
Dk ya 20 Adeyum anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea faulo Shomari
Dk 19 Yacouba anafanya jaribio linakwenda nje ya lango
Dk ya 18 Zimbwe anapiga shuti linakwenda nje ya lango
Dk ya 16 Chama anatengeneza pasi ndani ya 18 haileti matokeo
Dk 14 Simba wanapata kona ya kwanza
Dk 11 Goooal Zawad Mauya
Dk 11 Kaseke anapiga kona ya nne Manula anaokoa
Dk 10 Bocco anamchezea faulo Mukoko
Dk 9 Kisinda anachezewa faulo na Onyango
Dk 7 Morrison anachezewa faulo
Yanga wanapata kona tatu kipindi cha kwanza
Dk ya 5 Mukoko Tonomne anapewa huduma ya kwanza.
Dk ya 4 Nyoni anamchezea faulo Feisal
Dk ya 3 Yacouba anafanya jaribio la kwanza linakuwa kona
Refa hiyo penati huoni
ReplyDeleteWale wanaoshangilia kwa kumsikiliza mropokaji wa Cimba, Hiyo ndio derby
ReplyDeleteHehehe...mdakeni mtopokaji wenu asije kuanguka avunjike pua
DeleteHiyo ndio Yanga tff fc wasingeoangiwa matokeo wasingechukua kombe
ReplyDeleteKombe gani walilochukua, endeleeni kuamini hivyo hivyo
DeleteUtopolo washachukua ubingwa
DeleteNguruwe fc hahaha dah
ReplyDeleteKipofu kaona mwezi sasa hatupumui
ReplyDeleteUtopolo wamefurahi kana kwamba wamechukua ubingwa..... Nyambafu..!!!?
DeleteHakuna asiefurahia ushindi acheni kujipa moyo, mmepigwa jipangeni kwa mechi zijazo
ReplyDeleteSio kombe tu,chukueni hata jagi, ila Yanga sio faraja. Mmepigwaaaaaaaaaaa!
ReplyDelete