July 25, 2021



KATIKA kuelekea fainali ya Kombe la Shirikisho

la Azam Sports (ASFC), uongozi wa Yanga

kupitia kwa Ofisa Habari wake, Hassan Bumbuli,

umefunguka kuwa wamejipanga vizuri

kuhakikisha wanatwaa ubingwa na kurejea na

kombe la michuano hiyo.


Fainali hiyo inatarajiwa kupigwa leo Julai 25,

Jumapili kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika,

Kigoma ambapo Yanga watacheza dhidi ya

Simba.


Akizungumza na Championi Ijumaa, Bumbuli

alisema kuwa Kigoma lengo lao kubwa ni

Kombe la Azam kwa kuwa  wamejipanga kupambania ushindi huo.


“Maandalizi yamefikia katika hatua nzuri hadi

sasa timu yetu tayari imeshawasili kigoma ikiwa

na idadi ya wachezaji 20.


“Tumejipanga vizuri kupambana ili kuhakikisha

tunapata ushindi kwa sababu

lengo letu ni kuchukua kombe,” alisema.

Mabingwa watetezi wa taji hilo ni Simba ambao walitwaa msimu uliopita walipocheza na Namungo katika mchezo wa fainali, Sumbawanga, Uwanja wa Nelson Mandela.

6 COMMENTS:

  1. IMEVUJA: Leo mtu anapigwa 4G

    ReplyDelete
    Replies
    1. labda yule referee aliepangwa na TFF awabebe ndio mtashinda

      Delete
  2. Tumejipanga kurudi na kombe Kigoma? Huu ndiyo uandishi gani?upo hapo kwa bahati mbaya....?

    ReplyDelete
  3. Wao warud na votenge vya wax tu sie simva hatina hiyana tutanunua tu

    ReplyDelete
  4. Jee Wananchi mlijipanga kurudi na ubingwa lakini hayakuwa kwasababu hamkutamka akipenda Mungu kitu mnachokiamini ni neno "lazima mkitaka musitake tutapiga kwenye mshoni navtutarudi na ubingwa"

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic