MABORESHO ya Uwanja wa Kaunda unaendelea ambapo kwa sasa wameweka vifusi kwa ajili ya kuweza kukamilisha zoezi la matengenezo. Uwanja huo upo makao makuu ya Yanga.
Ndio acha lichukue muda mrefu kwani kuna mambo mengine yanayohitaji fedha mfano ukarabati wa vyumba vyote kwenye jengo na majukumu mengine ya uendeshaji.
Yaani kuweka kifusi inachukua miaka Kitano.Hili zoezi lilianza Mkwasa akiwa katibu mkuu hadi Leo halijaisha?
ReplyDeleteNdio acha lichukue muda mrefu kwani kuna mambo mengine yanayohitaji fedha mfano ukarabati wa vyumba vyote kwenye jengo na majukumu mengine ya uendeshaji.
DeleteBila shaka habari hii imeletwa kusahaulisha kipigo cha Rivers United...huu nao ni ubunifu!
ReplyDeleteHata CAS hawajasahau tarehe 21 inakaribia
DeleteSawa kabisa YANGA Ni wabunifu ,Baada kuchapwa Nigeria watabuni nini ???
DeleteNa Tarehe 25/9/2021 SIMBA inawasubilia
Kweli
DeleteUtopolo na malengo yao yakiutoopolo
ReplyDelete