Ameongeza kuwa Yanga wanaongea sana tena.
VIDEO:RIVERS UNITED YAIKAZIA YANGA, YAWEKA WAZI KWAMBA ITAWAFUNGA TENA NIGERIA
KIPA wa timu ya Rivers United ameweka wazi kuwa walifanya kazi kubwa kwenye kusaka ushindi mbele ya Yanga katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambao ulichezwa Uwanja wa Mkapa na timu hiyo kushinda kwa bao 1-0 na ameweka wazi kwamba kuelekea kwenye mchezo wao wa marudiano wanahitaji kushinda kwa mara nyingine
0 COMMENTS:
Post a Comment