October 7, 2021


SIMULIZI ya aliyekuwa anasumbuliwa na ndoto mbaya usiku


Usingizi mzuri huwa na ndoto nzuri ambazo hukuliwaza kila mara. Kwa wakati mwingine watu huwa na ndoto ambazo zinaweza kuwasumbua na hata wakati mwingine wao hujipata wakilia.

Niliishi na mume wangu na tulipendana sana naye. Alikuwa mwaminifu katika ndoa yetu lakini kitu kilichokuwa kinamkosesha usingizi ni ndoto za ajabu nilizokuwa nikiota kila usiku.

 Suala hilo hakulifurahia mume wangu kwani alisema kuwa kila nilipolala niligutuka kutoka kwenye usingizi kwa ajili ya ndoto za kutisha. Hilo lilikuwa ni kweli kwani mara kwa mara niliota watu waliokuwa na nia mbaya wakinifuata kwa mapanga wakitaka kunitoa uhai. 

Mara nyingine pia niliota nikiwa kwenye mahali palipo juu sana na kila nilipoanguka nilijikuta nimepiga mueleka mkali suala lililomkera mume wangu.

Wakati mwingine pia niliota kwamba nilikuwa katika makaburi ambapo nilikuwa nalonga najamaa zangu walikuwa wamefariki miaka mingi iliyopita. Kila mara niliomba nilipokuwa nataka kulala lakini hili halikunizuia kuendelea kuota kila wakati.

 Mume wangu alikuwa mwenye kiwewe na kila mara aliniuliza ni nini kilichopelekea kuwa na ndoto kama zile za kutisha.

Nilianza kutafuta usaidizi kutoka kwa watu mbalimbali ili kupata suluhisho lakini kote hakuna jambo lililonipa suluhu ya shida ile ya kuota ndoto mbaya.

Nilitembelea madaktari wa miti shamba mbalimbali kwa imani kuwa ndoto hizi za ajabu zingeisha lakini yote niliambulia patupu kwani mambo yalikuwa mbaya hata zaidi. 

Mume wangu pia alinishauri nitembelee wazee ili waniondolee suala lile la ndoto za kutisha lakini yote yalikuwa ni kazi bure kwani mara hii ndoto zilikuwa mbaya kwani wakati mwingine nilikabwa kooni nisiweze hata kuwa na uwezo wa kupumua.


Sikuwa na amani kila nilipoenda kulala kwani nilifahamu fika kwamba ningepata ndoto zile ambazo kila mara zilinigutusha kutoka usingizini. Nipokuwa nyumbani siku moja nikaona matangazo kwenye runinga niliona simulizi za watu waliosaidiwa na daktari mmoja tajika aliyefahamika kama daktari Kiwanga ambapo watu hao walisaidiwa kupata suluhu za shida mbalimbali za maisha. 

Nilichukua fursa ile kumpigia simu kwani nilitaka kumaliza zimwi hili la ndoto za kutisha. Baada ya wiki moja alinialika ofisini kwake mjini Kericho na hapo nilielekea kule huku tukiandamana na mume wangu.

 Nilimwelezea yote yaliyokuwa yakinisumbua na hapo akanielezea kwamba tatizo lile lilikuwa linawasumbua watu wengi na kwamba nisitie shaka kwani alikuwa hapo awali kisha wasaidia watu wengi kutokana na tatizohilo.

 Alinishughulikia na kunipa hakikisho kwamba hakuna hata siku nyingine ambapo ningeweza kukumbana na ndoto zile. Tulirejea nyumbani na mume wangu na usiku ule nililala fofofo kwani hakuna lolote lililonisumbua usingizini.

 Mume wangu aliniuliza iwapo ndoto zile zilinijia lakini mambo yalikuwa shwari. Ama kwa hakika daktari Kiwanga alikuwa amezima shida ile. Kwa mara ya kwanza nililala usingizi wa pono bila ya chochote kunisumbua kinyume na hapo awali.

Daktari Kiwanga ana uwezo wa kusuluhisha mizozo ya kifamilia ambayo mara nyingi hupelekea ugomvi na hata vita baina ya ndugu na dada. Ana uwezo pia wa kukuwezesha kushinda kesi kortini ili uweze kupata haki kwa wakati wowote ule.

 Anatibu magonjwa kama vile Kisonno na Kaswende kwa muda wa siku tatu pekee. Kwa mengi zaidi wasiliana nao kupitia barua pepe kiwangadoctors@gmail.com ama kwenye wavuti www.kiwangadoctors.com ama waweza kuwasiliana nao kupitia nambari ya simu +254 769404965.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic