March 19, 2013



Pambano la Ligi Kuu ya Grand Malt ya Zanzibar kati ya Chuoni FC dhidi ya Falcon FC kwenye Uwanja Amaan mjini Zanzibar, jana.
 Chuoni FC walionyesha ujuzi kwa kuwachapa wababe Falcon kwa bao 1-0.


Patashika kati ya Chuoni na Falcon kuwania ushindi kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar, jana.
 Walinzi wa Chuoni ambao ni ndugu, Mwinyi Ngwali (kushoto) na Makame Ngwali (kulia) wakimdhibiti vilivyo Aly Kalulu wa Falcon kutoleta madhara langoni kwao.


Mlinzi wa timu ya Chuoni, Mwinyi Ngwali akimtoka Aly Kalulu wa Falcon (kulia).

Saleh Ameir wa Falcon (kulia) akimchezea faulo Saleh Mohamed wa Chuoni FC.
PICHA: MARTIN KABEMBA

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic