March 14, 2013

 Ilikuwa mechi ya NSSF Cup, GPL dhidi ya Jamboleo...huyu jamaa, anaitwa Saleh Ally aliwekewa ulinzi mkali sana, lakini ndiye alipiga mashuti mengi makali yaliyompa kipa wakati mgumu. Nidye aliyewachanganya mabeki na viungo kwa chenga za maudhi na pasi za uhakika...lakini taarifa zinaeleza hakulala usiku kwa maumivu....hata leo kazini alikuwa anashindwa kutembea vizuri...watu wakamshauri eti anajua lakini vizuri kasi ya Messi na Ronaldo awaachie wenyewe....eeeh!






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic