March 15, 2013


 
Dakika chache zilizopita, ratiba ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya robo fainali imekamilika kupangwa mjini Nyon, Swiss.

Wengi walikuwa wanasubiri kwa hamu kujua nani, atakutana na nani katika timu 8 zitakazopambana katika hatua hiyo.

*Barca kuwavaa PSG, Madrid wapewa kikosi cha Drogba

Málaga(ESP) Vs Dortmund(GER)
Real Madrid(ESP) Vs Galatasaray(TUR)
PSG (FRA) Vs Barcelona (ESP)
Bayern(GER) Vs Juventus (ITA)

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic