April 4, 2013


 
 Yaya Toure baada ya kusaini mkataba na Mkurugenzi wa soka wa Man City, Txiki Begiristain.


Kiungo nyota raia wa Ivory Coast, Yaya Toure amesaini mkataba mpya na Manchester City wenye thamani ya Pauni Milioni 45.


Mkataba huo wa miaka miaka mine utakuwa ukimuingizia pauni milioni 11 kila mwaka na kumuingiza nyota huyo mwenye miaka 29 kuwa kati ya wachezaji wanaovuna fedha nyingi zaidi.

Mshahara wake wa zaidi ya Pauni 210,000 kwa wiki utabaki kama ulivyokuwa katika mkataba uliopita.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic