May 16, 2013




Fainali ya Jumamosi ya Copa del Rey ni gumzo kwa kuwa ni mechi inayowakutanisha wapinzani wakubwa wa soka la Hispania.

Real Madrid na Atletico Madrid wanaotokea katika jiji moja, lakini inaonekana kuina kazi kubwa kwa kuwa Atletico ni mabingwa wa fainali na Madrid chini ya Jose Mourinho wanapaswa kujipanga sawasawa.


Atletico Madrid wameshinda mechi nne katika fainali tano walizocheza kuanzia mwaka 2010, hali inayowafanya waonekane ni hatari katika hatua ya fainali wanapopata nafasi.


Maana yake, Real Madrid wanapaswa kuwa makini na wepesi kung’amua mipango ya Atlerico Madrid ambayo wachezaji wake.

Ingawa wengi wanatupa jicho kwa Real Madrid ambayo haina kombe na itatumia nguvu zote kulipata la Copa del Rey, lakini utaalamu wa Atletico Madrid katika fainali unaonekana ni tatizo kwao.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic