November 26, 2013



Nani anasema kinyozi hajinyoi, Kocha Jose Mourinho ameonyesha msemo huo wa Kiswahili umepitwa na wakati.
 
Ameamua kujinyoa mwenyewe baada ya kuazima mashine ya kunyolea ya mshambuliaji Fernando Torres.

Baada ya kuanzima mashine hiyo, Mourinho asiyeisha vituko aliingia ofisini kwake na kujinyoa nywele zake.

Alipotoka alikuwa amebadilika kabisa kwa kuwa alinyoa katika staili ambayo haipishani sana na Torres.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic