Nani anasema kinyozi hajinyoi, Kocha
Jose Mourinho ameonyesha msemo huo wa Kiswahili umepitwa na wakati.
Ameamua kujinyoa mwenyewe baada ya
kuazima mashine ya kunyolea ya mshambuliaji Fernando Torres.
Baada ya kuanzima mashine hiyo, Mourinho
asiyeisha vituko aliingia ofisini kwake na kujinyoa nywele zake.
Alipotoka alikuwa amebadilika kabisa kwa
kuwa alinyoa katika staili ambayo haipishani sana na Torres.
0 COMMENTS:
Post a Comment