Mwenyekiti wa Simba aliyesimamishwa
kuendelea na kazi, Ismail Aden Rage ameamua kuahirisha mkutano aliokuwa afanye
leo saa saba mchana.
Rage amesema ameahirisha kupisha mkutano
mwingine wa waandishi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
TFF inatarajia kutangaza kamati zake
mpya ambazo zilivunjwa baada ya uongozi wa Jamal Malinzi kuchukua hatamu kutoka
kwa ule wa Leodeger Tenga.
Rage aliahidi kubwa ugali kwa madai
wajumbe wa kamati ya utendaji waliomsimamisha hawakufuata taratibu.
0 COMMENTS:
Post a Comment