March 7, 2014


Mwamuzi Israel Mujuni Nkongo ameteuliwa na Shirikisho la Soka (CAF) kuchezesha mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho (CC) Afrika kati ya wenyeji AFC Leopards ys Kenya na SuperSport United ya Afrika Kusini.


Mujuni katika mechi hiyo itakayochezwa kesho (Machi 8 mwaka huu) jijini Nairobi, Kenya atasaidiwa na Samuel Mpenzu, Josepht Bulali wakati mwamuzi wa mezani atakuwa Ramadhan Ibada.

Kamishna wa mechi hiyo ni Amir Hassan kutoka Mogadishu, Somalia. SuperSport United ilishinda mechi ya kwanza iliyochezwa wiki mbili zilizopita mabao 2-0. 


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic