April 26, 2014

NOOIIJ BAADA YA KUTUA ANA KUPOKELEWA NA MAOFISA WA TFF

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza rasmi Mart Nooij kutoka Uholanzi kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya Taifa (Taifa Stars).


Rais wa TFF, Jamal Malinzi amemtambulisha kocha huyo leo (Aprili 26 mwaka huu) kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Akiwa amefuatana na Makamu wake Wallace Karia, amesema anafurahi kumtangaza Nooij na ana matarajio kuwa Tanzania itanufaika na uzoefu wake mkubwa wa ukocha, hasa katika bara la Afrika.

“Nawaahidi Watanzania kuwa sitomuingilia kocha katika kazi yake. Kama mimi sitomuingilia kocha, basi hakuna mtu yeyote atakayemuingilia. Tumemwajiri yeye kwa vile ni mtaalamu, hivyo hakuna sababu ya kumuingilia,” amesema Rais Malinzi.

Naye Nooij ambaye amepewa mkataba wa miaka miwili amesema yeye ni mtu wa maneno mafupi, hawezi kuahidi kitu lakini ana matarajio ya kuifanya Taifa Stars ifanye vizuri katika mashindano mbalimbali.

Amesema kabla ya kukubalia kufundisha Taifa Stars alikuwa na klabu ya St. Georges ya Ethiopia, lakini vilevile amewahi kufundisha mpira wa miguu barani Afrika katika nchi za Burkina Faso, Mali na Msumbiji.

WASIFU WA NOOIJ:
CURRICULUM VITAE                              

Name:                Mart Nooij.

First name(s):  Martinus Ignatius Maria (Mart).

Address:            Westerweelstraat 11, 1964 BT Heemskerk. The Netherlands.
Phone / fax:               Holland: 00.31.251.245738. 
                             Mobile in Holland: 00 31 612 645 403.

E-mail:              martnooij@hotmail.com 
                            
Nationality:               Dutch.

Age:                        59 years (born 03.07.1954).


Profession:                 Football Coach.
                             Euro – pro licence 2010 – 2011.
                             Teacher in Sports and Physical Education.
Coach in Burkina
Faso:               From September 2001 until December 2003: National Technical Adviser of  FBF (FA), send out by KNVB (Holland FA).
                             Coach of the National Team U 20 (Etalons Juniors).
                             Participation:
1.    The African Cup of Nations Juniors 2003 (4ième place) in Ouagadougou, Burkina Faso.
2.    The Festival des Espoirs in Toulon (France) 2003.
3.   The Afro-Asiatic Games in October 2003, Hyderabad, India.
4.    The World Cup U 20 (EAU 2003) Burkina Faso reached the second round.
Coach KNVB:         
·       KNVB- coach in the Dutch National Plan (1989 – 2001).
Responsible for coach education in the western part of the country.
·       KNVB- coach clinics abroad (1998 – 2005):
1.    Seattle (USA) in July 1998 (Lake Washington Youth Soccer Ass.).
2.    Ouagadougou (BF) in April 1999.
3.    Maputo (Mozambique) in July 1999.
4.    Bobo-Dioulasso (BF) in December 1999.
5.    Preparation of National Team of Kenya (The Harambe Stars)  for
      The Castle Cup in Nairobi in October 2000.
6.    KNVB- course of the “CTR de la FBF” in Holland, May 2001.
7.    International KNVB coach clinic in Ouagadougou for French speaking African countries in August 2003 (BF).

8.    Willemstad, Curaçao. Dutch Antilles (February- April 2004).

9.    Bishkek, Kyrgyzstan.  October – November 2004.
10.             Bishkek, Kyrgyzstan July 2005.
Project manager:    Manager of the project “Reinforcement of the capacity INJEPS Ouagadougou 2004 – February 2007“ send out by the Ministry of Sports in Holland.

Coach in
Mozambique: Coach of the national team of Mozambique, February 2007 – October 2011.
·       Merdeka Football tournament Malaysia 2008.
·       4 CAN qualifiers (CAN Ghana 2008).
·       12 CAN and WC qualifiers (CAN + WC 2010).
·       CAN 2010 (Angola 2010).
·       COSAFA 2007/2008/2009.
                            Mozambique is the best mover up in FIFA ranking 2007.
·       6  CAN qualifiers (CAN 2012 Gabon).
·       All African Games 2011 Mozambique.
                        Coach of the National Team of Mozambique and the Olympic
                                    Team of  Mozambique (U 23).       
Contract 19/07/2010 – 31/10/2011.

Recently:          Head coach of Santos FC Cape Town South Africa
(until 31 January 2013).

At the moment:        Head coach of St George FC in Addis Ababa, Ethiopia.

Inquiries:          Mr Henk van de Wetering, ex-director of the KNVB – Academy.
                             Tel: 00.31.651348411.
                             Mr Louis van Gaal, coach of the National Team of Holland.
                             Tel 00.31.343. 499145 (Office KNVB).
Mr Johan van Geijn, KNVB foreign relations.
Tel: 00.31.499283 mobile: 00.31.651604778.
          Mr DIAKITE Seydou, Ex - President of the FBF Burkina Faso.
          Mobile: 00.226. 76 62 12 27.
          Senhor Fernando Sumbana, Minister of Sports  in Mozambique.
          Mobile: 00 258.823011120.




Holland, December 2013.    





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic