Rais wa Marekani, Barack Obama ameshuhudia mechi ya Kombe la Dunia kundi H kati ya Marekani na Ghana akiwa kwenye dege lake maarufu kama Air Force One.
Ujerumani imeishinda Marekani kwa bao 1-0, lakini bado
imefanikiwa kufuzu katika hatua ya 16 Bora na kuziacha Ghana na Ureno zikirudi
nyumbani.
Obama alikuwa safarini akitokea Maryland kwenda
Minnesota wakati mechi hiyo ilipokuwa inapigwa, hivyo akataka kuishuhudia ili
kuiunga mkono Marekani ambayo ililala.
0 COMMENTS:
Post a Comment