August 12, 2014



Liverpool sasa imehamia kwa mshambuliaji nyota wa Cameroon mkongwe, Samuel Eto’o.

Kocha wake, Brebdan Rodgers ameona anaweza kumnasa ili kuziba pengo la Luis Suarez aliyekwenda Barcelona.
Rodgers alifanya juhudi za kumnasa Lois Remy lakini akafeli vipimo vya afya.
Kocha huyo wa Liverpool, imeelezwa Eto’o ni chaguo la kwanza na akikwama, badi Wilfred Bony anayekipiga Swansea atakuwa namba mbili.
Bonny anakipiga katika kikosi cha timu ya taifa ya Ivory Coast na alifunga bao la nne wakati Tembo walipoifunga Taifa Stars mabao 4-1 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar, yeye akifunga la nne dhidi ya kipa Juma Kaseja.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic