Mo Farah na James Dasaolu wameanza
vizuri baada ya kuipa Uingereza medali katika michuano ya Ulaya inayoendelea
nchini Uswiss.
‘We’re all feeding off each
other,’ said Dasaolu. ‘Everyone’s feeling positive.’
Farah alishinda mita na
Dasaolu alishinda mita 100.
Farah alishinda huku
akifuatiwa na patna wake kitimu, Andy Vernon, hivyo kuifanya Uingereza kubeba
medali tatu kupitia wanaridha hao.
USAIN BOLT AKIMPONGEZA MSHIKAJI WAKE MO FARAH |
DASAOLU |
0 COMMENTS:
Post a Comment