December 16, 2014

NEIVA...

Kocha Msaidizi wa Yanga, Leonardo Neiva naye yuko njia moja kurejea kwao.


Taarifa za uhakika zinaeleza, Neiva anaondoka na nafasi yake itachukuliwa na Boniface Mkwasa.

Usiku wa kuamkia jana kumekuwa na kikao kizito cha viongozi wa Yanga kujadili mustakabari wa Wabrazil hao.
"Ni kweli Neiva ataondoka, hilo suala limejadiliwa. Maana anatakiwa Mkwasa kuja kuziba nafasi yake," kilieleza chanzo.

"Kama akija kocha Pluijm, lazima atataka kufanya kazi na Mkwasa."

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic