January 20, 2015

Algeria imeanza vizuri michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa kuichapa Afrika Kusini kwa mabao 3-1.


Katika mechi hiyo ngumu katika mji wa Mongomo, Equatorial Guinea. Algeria ilitoka nyuma ikiwa nyuma kwa bao moja na kuibuka na ushindi huo wa mabao 3-1.
Kundi C ndiyo gumu zaidi na awali, Ghana ililala kwa mabao 2-1 dhidi ya Senegal.


Mechi hiyo hadi mapumziko ilikuwa sare ya bila bao, kabla ya mabao yote manne kufungwa katika kipindi cha pili.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic