January 20, 2015


Kocha Mkuu wa Real Madrid, Carlo Ancelotti amesema Cristiano Ronaldo ndiye mchezaji mahiri zaidi kati ya wale aliowahi kufanya nao kazi.


Ancelotti aliyewahi kung’ara kama mchezaji akiwa Juventus amesema Ronaldo ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa katika nyanja nyingi zaidi.

Amesema uwezo wake kwa kusaidiana na wengine katika kikosi chake kutaisaidia Madrid kwenda mbali zaidi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic