Ili kupisha hali ya kewa ya joto, michuano ya Kombe la Dunia
iliyopangwa kufanyika nchini Qatar mwaka 2022 itapigwa kuanzia Novemba hadi
Desemba.
Kwa kawaida michuano hiyo hufanyika kati ya miezi ya Juni la
Julai.
Majibu hayo yametolewa baada ya kamati ya utendaji ya Fifa kukutana jijini Zurich, Uswiss kuanzia Machi 19 hadi 20.
Uamuzi huo unaondoa ndoto ya nchi za Ulaya kuwania kuipata nafasi hiyo kwa madai hali ya hewa ya Qatar si sahihi.
0 COMMENTS:
Post a Comment