July 24, 2015


 Imegundulika kuwa mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo hapendi kabisa kuzidiwa urefu hasa anapopiga picha za kikosi.


Kutokana na hali hiyo, Ronaldo amekuwa akifanya hivi; ananyenyemea na kusimamia vidole ilimradi tu awe mrefu au alingana na wachezaji kama Sergio Ramos, Pepe na Tony Kroos ambao hukaa msitari wa kusimama.

Mbaya zaidi, Ronaldo amekuwa akimtumia Karim Benzema kama ngazi yake linapofikia suala la kufanya hivyo!

ANGALIA PICHA HIZI ZA SIKU TOFAUTI KABISA....!!





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic