July 3, 2015

Kocha Dusan Momcilovic raia wa Serbia mtaalamu wa masuaa ya viungo amesaini mkataba wa miaka miwili na Simba.

Dusan amewahi kuzinoa klabu tofauti katika nchi za Malaysia, Indonesia, Georgia, Bosnia & Herzegovina na Oman.
Kazi kubwa ya kocha huyo ni kuwaweka fiti wachezaji wa kikosi cha Simba ambao watakuwa chini ya Kocha Mwingereza, Dylan Kerr na msaidizi wake, Mtanzania Selemani Matola.
Tayari kocha huyo mpya ameanza kazi jana kuinoa Simba kwenye Uwanja wa TCC Chang'ombe jijini Dar es Salaam.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic