August 6, 2015

Manchester United itakutana na kati ya timu hizi katika mechi mbili za play-off ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.


Kwa kuwa ilishika nafasi ya nne katika Ligi Kuu England msimu uliopita, inalazimika kucheza play-off. Ratiba itapangwa kesho mjini Nyon.

Inatarajiwa kukutana na moja ya timu zifuatazo Lazio, Club Bruges, Monaco, CSKA Moscow au Rapid Vienna.


Ikishinda, ndiyo inapiga hatua na kuingia katika hatua ya makundi, ikitolewa, ijue safari.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic