August 6, 2015


Rasmi Yanga imemtema beki Joseph Zuttah ‘Teteh’ raia wa Ghana.


Beki huyo ametemwa siku chache baada ya kuwa amesajiliwa Yanga na sasa nafasi yake inachukuliwa na beki raia wa Togo Vicent Bossou.

Tayari Bossou yuko nchini na inaonekana lazima atajiunga na Yanga ambayo inataka kuimarisha safu ya ulinzi.

Wakati Bossou anachukua nafasi ya Teteh, kiungo Mzimbabwe, Thaban Kamusoko yeye anajiunga na Yanga na kuchukua nafasi ya Kph Sherman.


Sherman tayari amejiunga na kikosi cha Mpumalanga Black Aces cha nchini Afrika Kusini.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic