August 13, 2015


Mshambuliaji mwenye vituko wa Liverpool, Mario Balotelli amesherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuwaalika wachezaji wenzake.


Balotelli aliamua kutengeneza keki yenye jezi namba 9 ambayo huivaa anapokuwa timu ya taifa ya Italia na si ile anayovaa Liverpool.
 
Ni mwaka wa 25 sasa kwake, na wachezaji walijitokeza katika mgahawa wa Sorrento kuungana naye, baadhi wakiwa na familia zao.

Kati ya walioungana na Balotelli ni pamoja na Lucas Leiva, Mamadou Sakho, Lazar Markovic, Roberto Firmino, Divock Origi, Emre Can, Dejan Lovren na Martin Skrtel.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic