Lionel Messi
ni kiboko, yale mabao mawili aliyofunga dhidi ya Sevilla katika fainali ya Uefa
Super Cup yamempafanya afikishe mabao 24 katika mechi 24 dhidi ya timu hiyo.
Hapo
unajumlisha pia mechi za La Liga na Copa de Rey. Huyu mtu ni hatari!
Ukiachana
na hivyo, Sevilla inakuwa timu ya pili kufungwa mabao 24 katika mechi 24, Messi
pia ameifanyia hivyo Atletico Madrid.
0 COMMENTS:
Post a Comment