August 13, 2015

Lionel Messi ni kiboko, yale mabao mawili aliyofunga dhidi ya Sevilla katika fainali ya Uefa Super Cup yamempafanya afikishe mabao 24 katika mechi 24 dhidi ya timu hiyo.


Hapo unajumlisha pia mechi za La Liga na Copa de Rey. Huyu mtu ni hatari!


Ukiachana na hivyo, Sevilla inakuwa timu ya pili kufungwa mabao 24 katika mechi 24, Messi pia ameifanyia hivyo Atletico Madrid.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic