August 8, 2015

MANARA.....AKHAAA!
Unaiona picha ya juu, ni Haji Manara, Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Simba, hapa hazungumzi, anafanya yake.


Unaona amakusanya kijiji anataka kuondoka nacho. Lakini picha ya chini mbele ya msanii Suma G, anaonyesha faint, kama zile za Ronaldo, hehe.

Manara leo alikuwa kati ya waliowavutia mashabikiwa Simba wakati wa mechi ya utangulizi, Bongo Movie na Bongo fleva wakiwa wamechanganyika.
KAMA RONALDO....

Yeye amekamata dimba na kuonyesha kweli amezaliwa kwenye mpira, usisahau baba yake mzazi ni mwanasoka nguli kabisa nchini Sunday Manara.

Ilikuwa bonge la mechi katika siku hiyo maalum ya Simba kama Simba Day.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic