September 22, 2015

 Mshambuliaji wa Boca Junior, Carlos Tevez amelazimika hospitali kumtembelea Ezequiel Ham aliyemvunja mguu.


Tevez alimvunja mguu kiungo huyo kinda wakati wakizitumikia timu zao katika Ligi Kuu Argentina.

Mshambuliaji huyo wa zamani wa Manchester City aliomba radhi kutokana na kumvunja mguu Ham.

Lakini akamtembelea hospitali kiungo mwenye miaka 21 ambaye alionyesha kufurahia.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic