October 11, 2015

Kocha Sam Allardyce ametua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Manchester Airport  akiwa tayari kurejea Ligi Kuu england.


Allardyce ,60, maarufu kama Big Sam ametua kwa ajili ya kujiunga na kikosi cha Sunderland ambacho kilishaanza mazungumzo naye.

Sunderland ilimfungashia virago kocha wake kuonekana hana mwenendo mzuri.


Big Sam alilazimika kuahirisha mapumziko yake nchini Hispania na kurejea nchini England kwa ajili ya kazi hiyo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic