Pamoja
na kuwa na wachezaji wengi bora katika
kikosi cha PSG, Angelo Di Maria anaonekana kuwa tishio kwa Real Madrid.
Madrid
inakutana na PSG katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inayotarajiwa kuwa kali
sana.
Mechi
hiyo inayopigwa leo jijini Paris inaonekana kuwa gumzo na Di Maria ambaye
amewahi kuitumikia Madrid, ndiye anaelezwa atakuwa tatizo.
Di
Maria raia wa Argentina anaonekana kuwa atatumika kama sehemu ya kusukuma
mashambulizi kutokea pembeni.
KAsi
yake, uwezo wa kupiga chenga na krosi zenye ‘macho’ ndiyo zinaonekana zitakuwa
tatizo kwa Real Madrid.
Hata
hivyo Kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez amesema wako tayari kwa kulinda na
wanachotaka ni kufunga mabao na kushinda.
0 COMMENTS:
Post a Comment