FRIENDS RANGERS |
Ligi Daraja la Kwanza Tanzania imesogezwa mbele hadi Novemba
14, mwaka huu.
Taarifa kutoka katika Shirikisho la Soka Tanzania
(TFF) zinasema ligi hiyo iliyokuwa imepangwa kuanza Oktoba 31 ili kutoa fursa
kwa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) kukamilisha maandalizi mengine ikiwemo viwanja
vitakavyotumika kwa ajili ya michezo ya ligi hiyo.
0 COMMENTS:
Post a Comment