November 26, 2015


Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Zlatan Ibrahimovic amefanya kile alichowaahidi wakazi wa Malmo ambako ni mabao makuu ya klabu yake ya kwanza.


Amieiongoza PSG kushinda kwa mabao 5-0 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, lakini pia akafunga bao moja kama alivyoahidi.

Wakati alipotua Malmo, juzi aliwaambia mashabiki wa malmo wamshangilie kama atafunga. Kweli amefanya hivyo katika dakika ya 49 lakini alitengeneza mabao mengine mawili.

Alianza ndoto zake za mafanikio kisoka akiwa Malmo ambayo baadaye ilimuuza Ajax ya nchini Uholanzi.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic