Pamoja na kwamba Hamisi Kiiza ni mfungaji mzuri lakini Kocha Jackson Mayanja anaonekana hajaridhika.
Mayanja amekuwa akiendelea kutoa mafunzo kwa Kiiza na kumuonyesha namna anavyoweza kuwa bora zaidi.
Kocha huyo raia wa Uganda kama ilivyo kwa Kiiza, alikuwa akimuonyesha namna anavyoweza kugeuka, kupiga mashuti na umakini langoni.
Muda mwingi, Kiiza alikuwa akifuatilia kwa makini na yeye baadaye kurudia.







0 COMMENTS:
Post a Comment