Yanga imeendelea na mazoezi yake kujiandaa na mechi dhidi ya Medeama ya Ghana.
Mazoezi yaliyofanyika leo jioni kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Yanga walionekana wako vizuri na mazoezi yao yameendelea kuwa ya nguvu na kasi.
Yanga wana kibarua kigumu cha mechi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Medeama, katikati ya wiki ijayo.
0 COMMENTS:
Post a Comment