August 31, 2016


Kiungo Jack Wilshere amekamilisha uhamisho wa mkopo kwa kujiunga na klabu ya Bournemouth.

Wilshere ameilazimu timu yake hiyo mpya kutoa pauni million 2, pia atakuwa akilamba mshahara wa pauni 80,000 kwa wiki kama kawa.


Awali alikuwa akitakiwa na klabu kubwa za Italia ambazo ni Roma na AC Milan lakini England pia Crystal Palace ilionyesha kumtaka kiungo huyo mwenye umri wa miaka 24.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic