January 18, 2017



Beki Method MWanjale amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa kikosi cha Simba kwa mwezi Desemba, 2016.

Mwanjale raia wa Zimbabwe ameonyesha ukomavu katika kikosi cha Simba, hasa aina ya uchezaji wake.


Simba imekuwa na kawaida ya kuchagua mchezaji wa mwezi na kumzawadiwa na kweli Mwanjali alistahili.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic