April 11, 2017




Sasa ni uhakika, Neymar haitaichezea Barcelona katika mechi ya El Clasico wakati Barcelona itaivaa Real Madrid Aprrili 23 mjini Madrid.

Neymar amefungiwa mechi tatu baada ya kumsemea “mbofumbofu” mwamuzi wa akiba katika mechi dhidi ya Malaga ambayo Barcelona walitwangwa kwa mabao 2-0.

MECHI ANATAZOKOSA:
Itakuwa Barcelona VS
Real Madrid
Real Sociedad

Osasuna

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic