April 11, 2017




Mashabiki wa Simba waliojitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, jana.

Mashabiki hao walijitokeza wakati Simba ikiivaa Mbao FC katika mechi iliyoisha kwa ushindi wa mabao 3-2 walioupata Wekundu hao wa Msimbazi.


Simba ilikuwa nyuma kwa mabao 2-0 hadi dakika ya 82. Lakini mabao mawili ya Frederic Blagnon na Muzamiru Yassin aliyemaliza kazi katika dakika za nyongeza.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic