June 16, 2017


Katibu Mkuu wa zamani wa TFF, Michael wambura amechukua fomu ya kuwania umakamu rais.


Wambura amechukua fomu hizo leo kwenye ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania tayari kuwania hiyo inayoshikiliwa na Warres Karia.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic