June 19, 2017



 Kiungo wa Arsenal, Jack Wilshere ameamua kufunga ndoa na mpenzi wake wa siku nyingi.

Wilshere ambaye amekuwa hana namba ya uhakika hadi kulazimika kupelekwa kwa mkopo, amefunga ndoa na Andriani Michael nchini Italia.


Uamuzi wake wa kuachana na ukapera, inaonekana amepokea ushauri aliowahi kupewa na Thierry Henry kwamba akifunga ndoa ataanza kuishi kiutu uzima zaidi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic